Jinsi ya kuunlock Alcatel MW40V Vodacom Tanzania
Hii ni router ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania inayokutaka utumie SIM Card ya mtandao mmoja tu kwahiyo ukiweka laini ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.
Kwa kushirikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kuunlock router yako ya Alcatel Onetouch MW40V Vodacom Tanzania na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule unaoutaka.
Waiting Time: 1min - 5minutes
Namna ya kuunlock Alcatel Onetouch MW40V Vodacom Tanzania itumie mitandao yote
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine
2. Unganisha router yako na Computer kwa Wifi
3. Itafungua browser yenye address 192.168.0.1
4. Jaza User Name na Password kisha bonyeza OK
5. Itakuomba NCK Code
6. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera
7. Bonyeza OK
Hongera! Umefanikiwa kuunlock router yako ya Alcatel Onetouch MW40V Vodacom Tanzania na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote.
Post a Comment