Jinsi ya kuunlock Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania itumie mitandao yote

 

Hii ni mini wifi router Huawei E5221s-2 ya mtandao wa Tigo ambayo inatumia SIM Card ya mtandao mmoja tu kwahiyo huwezi kutumia laini ya mtandao mwingine. 

Kwa kushirikiana na team ya fahusvera utaweza kuunlock router yako na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule unaoutaka. 

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania itumie mitandao yote
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine
2. Itafunguka browser yenye address kama hii 192.168.1.1/simlock.asp kama itashindikana kufunguka copy hii address
http://192.168.1.1/html/simlockrequired.html na paste kwenye browser yoyote ile ya computer yako.
   > Weka User Name na Password kisha bonyeza Log In

3. Weka NCK Unlock Code nilizokutumia kisha bonyeza "Apply".

Hongera! Mpaka hapo utakuwa umeweza kuunlock router yako ya E5221s-2 na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule unaoutaka. 

 Enjoy!

Tags: Jinsi ya kuunlock  E5221s-2 Tigo Tanzania itumie mtandao wowote, jinsi ya kuunlock Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua E5221s-2 Tigo Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kufungua Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania, Jinsi ya kuunlock router ya Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania, how to unlock E5221s-2 Tigo Tanzania, how to unlock Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania, how to unlock Huawei E5221s-2 Tigo Tanzania by Code, how to unlock E5221s-2 Tigo Tanzania by IMEI

No comments