Jifunze Ufundi Simu Software ~ Kitabu
Unaweza kujifunza ufundi simu software wewe mwenyewe. Hapo ulipo na computer yako utaweza kujifunza ufundi simu upande wa software. Nimejifunza ufundi simu wa software nikiwa na computer, simu na bando la internet (inawezakana kwa 100%).
Kwa kutumia kitabu hiki utaweza kujifunza ufundi simu upande wa software
kwa smartphone, simu za batani (feature phone) na tablet. Upatapo kitabu hiki hautahitaji tena kuuliza swali hili kwa watu
Kitabu hiki kina:-
- Video za kutosha
- Makala zenye maandishi yenye maelezo toshelezi na picha zenye mfumo wa PDF kwa smartphone na simu za batani (feature phone)
- Tool na driver za kurepair simu kwa kila njia. Haina haja ya kutafuta tool mtandaoni au kwa watu
Upatapo kitabu hiki, unatakiwa usome maelezo ya utangulizi kwa kabla ya kujifunza njia zingine. Ingia Utangulizi
Soma Read me, ingia umuhimu na Box na Dongle
Soma maelezo yote
Kwenye Box na Dongle, soma maelezo yote
Soma umuhimu
Bonyeza Case Study
Soma Read me
Kwa kutumia kitabu hiki, utaweza- Kuflash simu na tablet aina zote kama Nokia, Samsung, iPhone, Itel, Tecno, Infinix, Nexus, HTC, Google Pixel, LG, Xiaomi, Blackberry n.k
- Utaweza kurepair IMEI- Remove Network Lock
- Kujua boot key, boot select, fastboot mode, EDL Mode, Diag Mode, Test Point n.k- Kuunlock Bootloader ya simu yako
- Rooting
- Kuupdate simu yako kutoka android version moja kwenda nyingine
- Remove MI Account na mambo mengi yanayohusiana na ufundi simu software
Baada ya kusoma na kuelewa utaweza kurepair simu yoyote ya smartphone, tablet na simu ya batani
Kwenye hiki kitabu nimeandika mambo mengi yanayohusu ufundi simu software na ni rahisi kujifunza mwenyewe. Tools na drivers zote zipo wala hakuna haja ya kutafuta mtandaoni. Haya ni machache ila upatapo kitabu hiki, utajifunza mengi kuhusu ufundi simu software. Kila kitu kimeelezwa kwenye kitabu
Kitabu hiki kimeandikwa na timu ya Fahusvera, hairuhusiwi mtu yoyote kuchapicha tena (editing), kuweka kwenye website au blog zingine bila idhini ya mwandishi. Hatua kali za kisheria zitachukuliwa. Wasiliana na timu ya Fahusvera +255767434014 kwa maelezo zaidi. Haki zote zimehifadhiwa
Password itatolewa kwa Any desk au Team Viewer
Post a Comment