Jinsi ya kuunlock Alcatel X230E Airtel Tanzania itumie mitandao yote


Hii ni modem ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania inayokutaka utumie SIM Card ya mtandao mmoja tu kwahiyo ukiweka laini ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.

Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kufungua modem yako ya Alcatel Onetouch  X230E Airtel Tanzania na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule.

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Alcatel Onetouch X230E Airtel Tanzania itumie mitandao yote
1. Weka laini ya mtandao mwingine
2. Chomeka modem yako kwenye computer
3. Itakuomba NCK Code
4. Weka NCK Code ulizotumiwa na na timu ya Fahusvera
5. Bonyeza "OK" 

Hongera! Umefanikiwa kuunlock modem yako ya Alcatel Onetouch X230e Airtel Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote.

Tags: Jinsi ya kuunlock Alcatel x230e Airtel itumie mtandao wowote, namna ya kuunlock Alcatel x230e Airtel Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kuunlock Alcatel onetouch x230e, jinsi ya kuunlock Alcatel x230e itumie mtandao wowote, namna ya kufungua Alcatel x230e itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua Alcatel x230e Airtel Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua modem ya Airtel x230s itumie mitandao yote, namna ya kuunlock modem ya Airtel x230e, namna ya kuunlock Alcatel onetouch x230e Airtel Tanzania, how to unlock Alcatel x230e, how to unlock x230e, how to unlock Alcatel onetouch x230e, how to unlock Alcatel x230e Airtel Tanzania, how to unlock Alcatel onetouch x230e Airtel Tanzania

No comments