Jinsi ya kuunlock Alcatel TCL Y858v Mifi Safaricom Kenya

Hii ni Alcatel mifi router ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Safaricom Kenya inayokutaka utumie laini ya mtandao mmoja tu kwahiyo ukiweka SIM Card ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.

Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kuunlock router yako ya Alcatel TCL Y858v Safaricom Kenya by IMEI number na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule unaoutaka.

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Alcatel Y858v Safaricom Kenya itumie mitandao yote
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine tofauti na Safaricom
2. Unganisha router yako na Computer kwa Wifi
3. Jaza User name na Password kisha bonyeza OK
3. Itakuomba NCK Code
4. Weka NCK Code ulizotumiwa
5. Bonyeza OK

Mpaka hapa utakuwa umefanikiwa kuunlock router yako ya Alcatel Y858v Safaricom Kenya na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote.

Tags: Jinsi ya kuunlock Alcatel Y858v Mifi Safaricom Kenya itumie mtandao wowote, namna ya kuunlock Y858v Mifi Safaricom Kenya, jinsi ya kuunlock Y858v Safaricom Kenya, namna ya kuunlock Alcatel Y858v Safaricom Kenya, jinsi ya kufungua Alcatel Y858v Mifi Safaricom Kenya itumie mitandao yote, namna ya kufungua Y858v Safaricom Kenya, namna ya kuunlock router ya Alcatel Y858v Safaricom Kenya, namna ya kufungua Y858v itumie mtandao wowote, how to unlock Alcatel Y858v Safaricom Kenya, how to unlock Alcatel TCL Y858v Safaricom Kenya, how to unlock Alcatel Y858v Safaricom Kenya by code, how to unlock Alcatel Y858v Mifi Safaricom Kenya by IMEI, how to unlock Y858v, how to unlock Alcatel Y858v, how to unlock Y858v by Code, how to unlock Y858v by IMEI, how to unlock Alcatel Y858v mifi, how to unlock Alcatel Y858v by code

No comments