Jinsi ya kuunlock Alcatel MW40V Telkom Kenya itumie mitandao yote

Hii ni mifi router ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Telkom Kenya inayokutaka utumie SIM Card ya mtandao mmoja tu kwahiyo ukiweka laini ya mtandao mwingine itakuomba NCK Code.

Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kuunlock router yako ya Alcatel MW40V Telkom Kenya na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule unaoutaka. 

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Alcatel MW40V Telkom Kenya itumie mitandao yote
1. Insert SIM Card ya mtandao mwingine
2. Unganisha router yako na Computer kwa wifi
3. Itafunguka browser
4. Jaza User name na password kisha bonyeza OK
5. Itakuomba NCK Code
6. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera
7. Bonyeza OK 

Mpaka hapa utakuwa umefanikiwa kuunlock router yako ya MW40V Telkom Kenya na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote.

Tags: Jinsi ya kuunlock Alcatel MW40V Telkom Kenya itumie mtandao wowote, namna ya kufungua Alcatel MW40V Telkom Kenya itumie mitandao yote, jinsi ya kuunlock MW40V Telkom Kenya itumie mitandao yote, namna ya kufungua MW40V Telkom Kenya itumie mitandao yote, jinsi ya kuunlock Alcatel onetouch MW40V Telkom Kenya, jinsi ya kuunlock MW40V itumie mtandao wowote, how to unlock MW40V Telkom Kenya, how to unlock Alcatel MW40V Telkom Kenya, how to unlock Alcatel onetouch MW40V Telkom Kenya by code, how to unlock MW40V by Code, how to unlock Alcatel MW40V Telkom Kenya by IMEI, how to unlock MW40V Telkom Kenya by code, MW40V Telkom Kenya firmware, MW40V firmware, jinsi ya kuunlock router ya Alcatel MW40V Telkom Kenya, jinsi ya kuunlock router ya Alcatel MW40V, jinsi ya kufungua router ya Alcatel MW40V Telkom Kenya itumie mitandao yote, how to unlock MW40V Telkom Kenya

No comments