Jinsi ya kuunlock R6601 Halotel Tanzania itumie mitandao yote

Hii ni router ya kampuni ya Halotel Tanzania ambayo imetengenezwa ili iweze kutumia SIM card ya mtandao mmoja tu ambayo ni Halotel. Ukiweka laini ya mtandao mwingine inakuletea ujumbe wa invalid SIM Card na hautaweza kupata internet.

Kwa kutumia njia hii utaweza kufungua router ya Halotel Tanzania R6601 na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule unaoutaka

Muhimu
- Hakikisha hakuna kifaa kingine kimechomekwa kwenye computer isipokuwa router.
- Hakikisha computer yako ina charge 50% na kuendelea
- Usitumie Unlocked firmware tofauti na hizi uta-brick router yako. Itakufa jumla
- Usizime computer yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Usichomoe router yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Soma kwanza maelezo kabla ya kuunlock router yako
- Hatua moja ni muhimu sana, ukiruka hatua moja basi hatua nyingine haitafanya kazi

Namna ya kuunlock Halotel R6601 itumie mitandao yote
1. Install Halotel drivers kwenye computer yako. Kama unatumia Windows yenye X32/86 haina haja ya kudisable driver signature enforcement. Ila
kama unatumia Windows yenye X64 inabidi u-disable driver signature enforcement kwenye computer yako. Jinsi ya kuangalia kama unatumia Windows
yenye bit x32 au X64 kwenye computer
. Namna ya kudisable driver signature enforcement. Tunainstall drivers ili router yako ya R6601 iweze kutambuliwa
kwenye computer.

2. Hakikisha router yako haina laini yoyote. Iweke router yako kwenye Download mode. Bonyeza kwenye power on / off button, itawaka taa nyekundu

3. Soma maelezo ya PDF kwenye file ili uweze kuunlock router yako ya Halotel R6601

Hongera! Mpaka hapa umeweza kuunlock router yako ya R6601 Halotel Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule unaoutaka.

Tags:  Jinsi ya kuunlock R6601 Halotel Tanzania itumie mitandao yote, namna ya kuunlock Halotel R6601 itumie mtandao wowote, namna ya kufungua R6601 Halotel Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua halotel R6601 itumie laini ya mtandao wowote, namna ya kufungua router ya Halotel R6601, jinsi ya kufungua router ya R6601 Halotel Tanzania itumie mitandao yote, how to unlock R6601 Halotel Tanzania, how to unlock Halotel R6601, download R6601 Halotel Tanzania Firmware, download Halotel R6601 firmware, how to unlock R6601, download R6601 firmware, how to unlock Halotel Tanzania R6601, jinsi ya kufungua Halotel Tanzania R6601, namna ya kuunlock Halotel Tanzania R6601 itumie mtandao wowote

No comments