Jinsi ya kuunlock Vodafone V695 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote
Hii ni simu ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania inayokutaka utumie laini ya mtandao mmoja tu kwenye Slot ya laini one ambapo ukiweka SIM Card ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.
Kwa kutumia njia hii utaweza kufungua simu yako ya Vodafone Vodacom Tanzania V695 na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote kwenye SIM 1.
Waiting Time: 1min - 5minutes
Namna ya kuweka NCK Code ili uweze kuunlock Vodafone Vodacom Tanzania V695 iweze kutumia SIM Card ya mtandao wowote.
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine kisha washa simu yako
2. Bonyeza *#*#3646633#*#*
3. Chagua SIMLOCK Menu
4. Weka NCK Code ulizotumiwa
Hongera! Umefanikiwa kufungua simu yako ya Vodafone V695 Vodacom Tanzania na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote.
Post a Comment