Jinsi ya kuunlock E5573Cs-322 Tigo Tanzania itumie mitandao yote

Hii ni router ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Tigo Tanzania inayokuta utumie SIM Card ya mtandao mmoja tu kwahiyo unapoweka laini ya mtandao mwingine inakuomba SIMLOCK Code

Kwa kutumia njia hii utaweza kuunlock router yako ya Huawei E5573Cs-322 na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule

Muhimu
- Hakikisha hakuna kifaa kingine kimechomekwa kwenye computer isipokuwa router.
- Hakikisha computer yako ina charge 50% na kuendelea
- Usitumie Unlocked firmware tofauti na hizi uta-brick router yako. Itakufa jumla
- Usizime computer yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Usichomoe router yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Soma kwanza maelezo kabla ya kuunlock router yako
- Hatua moja ni muhimu sana, ukiruka hatua moja basi hatua nyingine haitafanya kazi

Namna ya kuunlock Huawei E5573Cs-322 Tigo Tanzania
1. Install Huawei Datacard Driver
2. Run Huawei E5573Cs-322 Tigo unlocked Firmware
3. Soma maelezo ya PDF kwenye File

Hongera! Mpaka hapa utakuwa umefanikiwa kuunlock Huawei E5573Cs-322 na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote unaotaka
Tags: Jinsi ya kuunlock E5573Cs-322 Tigo Tanzania itumie mitandao yote, namna ya kuunlock Huawei E5573Cs-322 Tigo Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kufungua E5573Cs-322 Tigo Tanzania itumie mtandao wowote, jinsi ya kufungua Huawei E5573Cs-322 Tigo Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua router ya Tigo E5573Cs-322 itumie mitandao yote, namna ya kuunlock router ya E5573Cs-322 Tigo Tanzania itumie mtandao wowote, how to unlock E5573Cs-322 Tigo Tanzania, how to unlock Huawei E5573Cs-322 Tigo Tanzania, download E5573Cs-322 Tigo Tanzania firmware, download Huawei E5573Cs-322 Tigo Tanzania firmware

1 comment: