Jinsi ya kuunlock E5573Bs-320 Zantel Tanzania itumie mitandao yote

Hii ni Wifi router ambayo inakutaka kutumia SIM Card ya mtandao mmoja tu na ukiweka laini ya mtandao mwingine inakuomba SIMLock Code.

Kwa kushirikiana na team ya Fahusvera utaweza kuunlock router yako ya Huawei E5573Bs-320 na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule.

Muhimu
- Hakikisha hakuna kifaa kingine kimechomekwa kwenye computer isipokuwa router.
- Hakikisha computer yako ina charge 50% na kuendelea
- Usitumie Unlocked firmware tofauti na hizi uta-brick router yako. Itakufa jumla
- Usizime computer yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Usichomoe router yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Soma kwanza maelezo kabla ya kuunlock router yako
- Hatua moja ni muhimu sana, ukiruka hatua moja basi hatua nyingine haitafanya kazi

Namna ya kuunlock Huawei E5573Bs-320 Zantel Tanzania
1. Install Huawei Drivers i.e FC Serial Driver & Huawei Datacard Driver
2. Run Huawei E5573Bs-320 Zantel unlocked Firmware
3. Soma maelezo ya PDF kwenye File

Hongera! Umefanikiwa kuunlock Huawei E5573Bs-320 Zantel Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule

Tags: Jinsi ya kuunlock E5573Bs-320 Zantel Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kuunlock Huawei E5573Bs-320 Zantel Tanzania itumie mitandao yote, namna ya kufungua E5573Bs-320 Zantel Tanzania itumie mtandao wowote, jinsi ya kufungua Huawei E5573Bs-320 Zantel Tanzania, namna ya kufungua router ya Zantel E5573Bs-320 itumie mtandao wowote, jinsi ya kuunlock router ya E5573Bs-320 Zantel Tanzania itumie mitandao yote, how to unlock  E5573Bs-320 Zantel Tanzania, how to unlock Huawei E5573Bs-320 Zantel Tanzania, download Huawei E5573Bs-320 Zantel Tanzania firmware, download E5573Bs-320 Zantel firmware

No comments