Jinsi ya kuunlock Alcatel Onetouch MW40V Safaricom Kenya

Hii ni router ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Safaricom Kenya inayokutaka utumie SIM Card ya mtandao mmoja tu kwahiyo ukiweka laini ya mtandao mwingine inakuomba SIMLOCK Code.

Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kufungua router yako ya Alcatel Onetouch MW40V Safaricom Kenya na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule unaoutaka.

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Alcatel Onetouch MW40V Safaricom Kenya itumie mitandao yote
1. Weka laini ya mtandao mwingine
2. Unganisha router yako na Computer kwa Wifi
3. Itafungua browser yenye address 192.168.0.1
4. Jaza User Name na Password kisha bonyeza OK
5. Itakuomba NCK Code
5. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera
6. Bonyeza "OK" 

Hongera! Umefanikiwa kuunlock router yako ya Alcatel Onetouch MW40V Safaricom Kenya na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote.

Tags:  jinsi ya kuunlock Alcatel MW40V itumie mtandao wowote, namna ya kuunlock Alcatel onetouch MW40V, jinsi ya kuunlock Alcatel MW40V Safaricom Kenya itumie mitandao yote, jinsi ya kuunlock Alcatel onetouch MW40V safaricom Kenya, jinsi ya kufungua Alcatel MW40V itumie mitandao yote, namna ya kufungua Alcatel onetouch MW40V safaricom, how to unlock Alcatel MW40V by code, how to unlock Alcatel MW40V Safaricom Kenya, how to unlock Alcatel Onetouch MW40V Safaricom Kenya by code, how to unlock Alcatel MW40V Safaricom, how to unlock MW40V by code, how to unlock Alcatel MW40V Safaricom Kenya by code

No comments