Jinsi ya kuunlock TECNO N2 Tigo Tanzania itumie mitandao yote

Hii ni simu ambayo imefungwa kwenye SIM 1 ili iweze kutumia SIM Card ya mtandao mmoja ambapo hautaweza kutumia laini ya mtandao mwingine kwenye Slot ya SIM 1.

Kwa kushirikiana na team ya Fahusvera utaweza kuunlock simu ya TECNO N2 ya Tigo na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote

Faida
- Utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote
- Utaweza kupata internet yenye kasi zaidi kwa kutumia SIM Card ya mtandao wowote

Mahitaji
- Computer
- Simu
- USB Cable
- Software

Namna ya kufungua simu ya Tecno N2 itumie mitandao yote
Pakua File hapo chini lina maelezo pamoja na software zake za kufungua simu ya TECNO N2 Tigo

Tags: Jinsi ya kuunlock Tecno N2 itumie mitandao yote, namna ya kuunlock Tecno N2 Tigo Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua Tecno N2 Tigo itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua Tecno N2 Tigo Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua simu ya Tigo Tecno N2 itumie mitandao yote, namna ya kuunlock ya simu ya Tigo Tecno N2 itumie mitandao yote, how to unlock Tecno N2 Tigo Tanzania, how to unlock Tecno N2, download Tecno N2 Stock Rom flash file, download Tecno N2 network unlocked firmware, download Tecno N2 Tigo Stock firmware flash file, download Tecno N2 Tigo Tanzania firmware, jinsi ya kufungua simu ya Tecno N2 itumie  mitandao yote, namna ya kuunlock simu ya Tecno N2 itumie mitandao yote, download Tecno N2 firmware

No comments