Jinsi ya kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania

Hii ni router ambayo inatumia SIM Card ya mtandao mmoja tu wa Vodacom Tanzania, ukiweka SIM Card ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.

Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule.

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania itumie mitandao yote
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine kwenye router yako
2. Unganisha router na Computer kwa Wi-Fi
3. Itafunguka browser. Kama unatumia simu, bonyeza SIM Lock Required

4. Weka Password kisha bonyeza "Login" 
5. Itakuomba NCK Code

6. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera
7. Bonyeza "OK" 

Hongera! Umefanikiwa kuunlock MW41CL Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote

Kwa SIM Card ya Halotel, itakubidi utengeneze Profile Management ya APN. Pangusa kuelekea kushoto

Bonyeza Settings >>>APN >>>Profile Management


Bonyeza New

Profile Name: Halotel

Dial Number: *99#

APN: Internet

Bonyeza Protocol

Chagua PAP & CHAP kisha bonyeza Done

Kisha bonyeza Save

Bonyeza Null kwenye Profile Management, Chagua Halotel kisha bonyeza Set Default

Kubadilisha Jina la Wifi na Password kwenye router yako. Disconnect 

Ingia Settings >>>Wifi Settings

Bonyeza kwenye SSID (Andika jina unalotaka) kisha bonyeza Key (Andika password unayotaka). Bonyeza hapo kwenye Show Password kuangalia password unayotaka kuiweka

Bonyeza Save

Enjoy!

No comments