Jinsi ya kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania

Hii ni router ambayo inatumia SIM Card ya mtandao mmoja tu wa Vodacom Tanzania, ukiweka SIM Card ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.

Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule.

Waiting Time: 1min - 5minutes

Namna ya kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania itumie mitandao yote
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine kwenye router yako
2. Unganisha router na Computer kwa Wi-Fi
3. Itafungua browser
4. Jaza User Name na Password kisha bonyeza "OK"
5. Itakuomba NCK Code
 

6. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera
7. Bonyeza "OK"

Hongera! Umefanikiwa kuunlock TCL MW41CL Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote.


Tags: jinsi ya kuunlock Alcatel onetouch MW41CL itumie mitandao yote, namna ya kuunlock Alcatel MW41CL, namna ya kuunlock TCL MW41CL Vodacom Tanzania, jinsi ya kufungua Alcatel Onetouch MW41CL, namna ya kufungua Alcatel MW41CL itumie mtandao wowote, jinsi ya kufungua MW41CL itumie mitandao yote, how to unlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania, how to unlock Alcatel Onetouch MW41CL Vodacom Tanzania, how to unlock MW41CL Vodacom Tanzania, how to unlock Onetouch Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania, MW41CL, jinsi ya kuunlock router MW41CL Vodacom Tanzania, namna ya kufungua router ya Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania, jinsi ya kuunlock router ya Alcatel Onetouch MW41CL, download firmware for MW41CL, MW41CL firmware, MW41CL Vodacom firmware, how to unlock TCL MW41CL Vodacom Tanzania 
 

No comments