Jinsi ya kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania
Hii ni router ambayo inatumia SIM Card ya mtandao mmoja tu wa Vodacom Tanzania, ukiweka SIM Card ya mtandao mwingine inakuomba NCK Code.
Kwa kushirikikiana na timu ya Fahusvera, utaweza kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule.
Waiting Time: 1min - 5minutes
Namna ya kuunlock Alcatel MW41CL Vodacom Tanzania itumie mitandao yote
1. Weka SIM Card ya mtandao mwingine kwenye router yako
2. Unganisha router na Computer kwa Wi-Fi
3. Itafunguka browser. Kama unatumia simu, bonyeza SIM Lock Required
4. Weka Password kisha bonyeza "Login" 5. Itakuomba NCK Code
6. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera
7. Bonyeza "OK"
Hongera! Umefanikiwa kuunlock MW41CL Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote
Bonyeza New
Profile Name: Halotel
Dial Number: *99#
APN: Internet
Bonyeza Protocol
Chagua PAP & CHAP kisha bonyeza Done
Kisha bonyeza Save
Bonyeza Null kwenye Profile Management, Chagua Halotel kisha bonyeza Set Default
Kubadilisha Jina la Wifi na Password kwenye router yako. Disconnect
Ingia Settings >>>Wifi SettingsBonyeza kwenye SSID (Andika jina unalotaka) kisha bonyeza Key (Andika password unayotaka). Bonyeza hapo kwenye Show Password kuangalia password unayotaka kuiweka
Bonyeza Save
Enjoy!
Post a Comment