Jinsi ya kuunlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania

Hii ni simu ambayo imefungwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania inayokutaka utumie laini ya mtandao mmoja kwenye upande wa SIM 1 ambapo ukiweka SIM Card ya mtandao mwingine itakuomba SIMLOCK Code.

Kwa kutumia njia hii, utaweza kuunlock simu yako ya Vodafone V785 na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote kwenye SIM 1.

Waiting Time: 1min - 5minutes

Baada ya kupata NCK Code. Fuata hatua hizi ili uweze kuunlock Vodafone Vodacom V785 itumie mitandao wowote
1. Weka laini ya mtandao mwingine kisha bonyeza button ya kuwashia simu
2. Bonyeza *#*#3646633#*#*
3. Chagua SIMLOCK Menu
4. Weka NCK Code ulizotumiwa na timu ya Fahusvera

Hongera! Umefanikiwa kuunlock simu yako ya Vodafone V785 Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote. 

Tags: Jinsi ya kuunlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kuunlock V785 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua Vodafone V785 Vodacom Tanzania , jinsi ya kuunlock Vodafone Vodacom V785, namna ya kufungua Vodafone Vodacom V785, namna ya kufungua V785 Vodacom Tanzania, namna ya kufungua simu ya Vodafone V785 Vodacom Tanzania itumie laini ya mtandao wowote, jinsi ya kufungua simu ya V785 Vodacom Tanzania itumie mtandao wowote, how to unlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania, how to unlock V785 Vodacom Tanzania, how to unlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania by Code, how to unlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania by NCK Code, how to unlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania by IMEI, how to unlock V785 Vodacom Tanzania by code, how to unlock V785 Vodacom Tanzania by IMEI, how to unlock V785 Vodacom Tanzania by NCK Code, how to unlock Vodafone Vodacom V785, how to unlock Vodacom Vodafone V785, namna ya kuunlock Vodacom Vodafone V785, jinsi ya kufungua Vodacom Vodafone V785

No comments