Jinsi ya kuunlock Huawei E303 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote

Hii ni modem iliyofungwa ili iweze kutumia SIM Card ya mtandao mmoja tu wa Vodacom. Ukiwa na Modem hii utalazimika kutumia SIM Card ya mtandao mmoja tu. 

Kwa kutumia njia hii utaweza kuunlock Huawei E303 Hilink Vodacom Tanzania na utaweza kutumia SIM Card ya mtandao wowote ule unaoutaka

Muhimu
- Hakikisha hakuna kifaa kingine kimechomekwa kwenye computer isipokuwa modem.
- Hakikisha computer yako ina charge 50% na kuendelea
- Usitumie Unlocked firmware tofauti na hizi uta-brick modem yako. Itakufa jumla
- Usizime computer yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Usichomoe modem yako kipindi cha kurun unlocked firmware
- Soma kwanza maelezo kabla ya kuunlock modem yako
- Hatua moja ni muhimu sana, ukiruka hatua moja basi hatua nyingine haitafanya kazi

Jinsi ya kuunlock Huawei E303 Hilink Vodacom Tanzania itumie mitandao yote
1. Install Huawei Mobile Partner kwenye Computer yako ili kupata drivers za modem yako

2. Chomeka modem yako, kisha funga dashboard ya modem yako kama itafunguka

3. Run SBC Code Calaculator, bonyeza Huawei tab, weka IMEI number kisha bonyeza Calculate. Kupata IMEI Number Fungua mfuniko wa modem yako utaziona. Zipo tarakimu 15. Nukuu Flash Code

4. Run Huawei E303 Hilink Unlocked Firmware. Itaomba password, weka flash code kisha bonyeza OK. Subiri mpaka imalize yenyewe, chomoa na chomeka tena Modem yako

Mpaka hapo utakuwa umeweza kuunlock modem ya Vodacom Huawei E303 Hilink na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule unaotaka

Tags: Jinsi ya kuunlock E303 Hilink Vodacom Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kuunlock Huawei E303 Hilink Vodacom Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kuunlock E303 Vodacom Tanzania, namna ya kuunlock Huawei E303 Vodacom Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kufungua E303 Hilink Vodacom Tanzania, jinsi ya kufungua Huawei E303 Hilink Vodacom Tanzania, namna ya kufungua E303 Vodacom Tanzania, jinsi ya kufungua modem ya Vodacom E303 Hilink, namna ya kufungua modem ya Huawei E303 Vodacom Tanzania , jinsi ya kufungua modem ya E303 Vodacom Tanzania, namna ya kufungua modem ya Hilink E303 Vodacom Tanzania, jinsi ya kuunlock modem ya Vodacom E303 Hilink, namna ya kuunlock modem ya Huawei E303 Vodacom Tanzania , jinsi ya kuunlock modem ya E303 Vodacom Tanzania, namna ya kuunlock modem ya Hilink E303 Vodacom Tanzania,  how to unlock E303 Hilink Vodacom Tanzania, how to unlock Huawei E303 Hilink Vodacom, how to unlock E303 Vodacom Tanzania, how to unlock huawei E303 Vodacom Tanzania, download E303 Vodacom Tanzania Firmware, download E303 Hilink Vodacom Tanzania firmware

No comments