Namna ya kuunlock Vodafone V685, V785 & V875 Vodacom Tanzania


Hizi ni simu za smartphone ambazo hutolewa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania ambapo zinakutaka utumie SIM Card ya mtandao mmoja tu kwenye SIM Card 1 

Baada ya kuunlock utaweza
- Kutumia laini ya mtandao wowote kwenye SIM 1
- Utaweza kupata internet yenye kasi zaidi
- Utaweza kuroot simu yako

Waiting Time: 1min - 5minutes 

Jinsi ya kuunlock Vodafone V685, V695, V785 & V875 itumie mitandao yote. Baada ya kupata NCK code (Unlock Code)
1. Weka laini tofauti na ya mtandao husika
2. Bonyeza *#*#3646633#*#*
3. Chagua SIMLOCK menu. Weka NCK Code ulizotumiwa 

Mpaka hapo utakuwa umeweza kuunlock simu yako ya Vodafone Vodacom na utaweza kutumia laini ya mtandao wowote ule

Tags: Jinsi ya kuunlock Vodafone V685 Vodacom Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kufungua Vodafone V685 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote, namna ya kuunlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kufungua Vodafone V785 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote, jinsi ya kuunlock Vodafone V875 Vodacom Tanzania itumie mtandao wowote, namna ya kufungua Vodafone V875 Vodacom Tanzania itumie mitandao yote, how to unlock Vodafone V685 Vodacom Tanzania, how to unlock Vodafone V785 Vodacom Tanzania, how to unlock Vodafone V875, how to unlock Vodafone V685, V785 & 875 by Code, how to unlock Vodafone V685, V785 & 875 by IMEI

No comments